Skip to main content

Posts

Showing posts from June, 2024

Ajira nafasi ya Mtendaji wa mtaa III -2 Post 2024

  POST DETAILS POST MTENDAJI WA MTAA III - 2 POST EMPLOYER Halmashauri ya Mji wa Makambako APPLICATION TIMELINE: 2024-06-18 2024-06-26 JOB SUMMARY N/A DUTIES AND RESPONSIBILITIES 1.      Katibu wa Kamati ya Mtaa 2.      Mtendaji Mkuu wa Mtaa 3.      Mratibu wa utekelezaji wa Sera na Sheria zinazotekelezwa na Halmashauri katika Mtaa. 4.      Mshauri wa kamati ya Mtaa kuhusu mipango ya maendeleo katika Mtaa 5.      Msimamizi wautekelezaji wa Sheria Ndogo pamoja na Sheria nyingine zinazotumika katika Mtaa. 6.      Mshauri wa kamati ya Mtaa kuhusu masuala ya Ulinzi na Usalama 7.      Msimamizi wa utekelezaji wa mikakati mbalimbali inayohusu uondoaji wa njaa na umasikini katika Mtaa. 8.      Kusimamia ukusanyaji wa mapato ya Halmashauri na kutunza kumbukumbu za walipa kodi wote 9.      Kuandaa na kutunza rejes...

ajira nafasi ya MTENDAJI WA KIJIJI III - 1 POST

  POST DETAILS POST MTENDAJI WA KIJIJI III - 1 POST EMPLOYER Halmashauri ya Wilaya ya Nyang'hwale APPLICATION TIMELINE: 2024-06-20 2024-07-03 JOB SUMMARY NIL DUTIES AND RESPONSIBILITIES Afisa Masuuli na mtendaji mkuu wa serikali ya kijiji; Kusimamia ulinzi na usalama wa raia na mali zao, kuwa mlinzi wa amani na msimamizi wa utawala bora katika kijiji; Kuratibu na kusimamia upangaji wa mipango ya maendeleo ya kijiji; Katibu wa mikutano na kamati zote za Halmashauri ya kijiji; Kutafsiri na Kusimamia Sera, Sheria na Taratibu; Kuandaa taarifa ya utekelezaji wa kazi katika eneo lake na kuhamasisha wananchi katika kuandaa na kutekeleza mikakati ya kuondoa njaa, umaskini na kuongeza uzalishaji mali; Kiongozi wa wakuu wa vitengo vya klitaalam katika kijiji; Kusimamia, kukusanya na kuhifadhi kumbukumbu zote na nyaraka za kijiji; Mwenyekiti wa kikao cha wataalam waliopo katika kijiji; Kupokea, kusikiliza na kutatua malalamiko na migogoro ya wananchi; Kusimamia utungaji wa Sheria Ndogo za kij...